Zaburi 66:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwa nilihifadhi moyoni mwangu jambo lolote linalodhuru,Yehova hangenisikia.+ Methali 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,Lakini huisikia sala ya waadilifu.+ Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+ Ingawa mnatoa sala nyingi,+Mimi sisikilizi;+Mikono yenu imejaa damu.+
15 Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+ Ingawa mnatoa sala nyingi,+Mimi sisikilizi;+Mikono yenu imejaa damu.+