Ayubu 27:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mtu anayemkataa Mungu* ana tumaini gani anapoangamizwa,+Mungu anapoondoa uhai wake?* 9 Je, Mungu atasikia kilio chakeTaabu itakapomjia?+ Methali 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,Lakini huisikia sala ya waadilifu.+ Methali 28:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayekataa kusikiliza sheria—Hata sala yake inachukiza.+ Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+ Ingawa mnatoa sala nyingi,+Mimi sisikilizi;+Mikono yenu imejaa damu.+ Yohana 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda dhambi,+ lakini humsikiliza mtu yeyote anayemwogopa na kufanya mapenzi yake.+
8 Kwa maana mtu anayemkataa Mungu* ana tumaini gani anapoangamizwa,+Mungu anapoondoa uhai wake?* 9 Je, Mungu atasikia kilio chakeTaabu itakapomjia?+
15 Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+ Ingawa mnatoa sala nyingi,+Mimi sisikilizi;+Mikono yenu imejaa damu.+
31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda dhambi,+ lakini humsikiliza mtu yeyote anayemwogopa na kufanya mapenzi yake.+