- 
	                        
            
            Zaburi 18:37Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
37 Nitawafuatia maadui wangu na kuwapita;
Sitarudi mpaka watakapoangamizwa kabisa.
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Zaburi 18:41Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
41 Wanalilia msaada, lakini hakuna mtu wa kuwaokoa;
Hata wanamlilia Yehova, lakini yeye hawajibu.
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Yakobo 4:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
3 Mnapoomba, hampokei kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya, ili mvitumie kwa ajili ya tamaa zenu za mwili.
 
 -