Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 35:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Watu hulia kwa sauti, lakini Yeye hajibu,+

      Kwa sababu ya kiburi cha waovu.+

  • Zaburi 18:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Nitawafuatia maadui wangu na kuwapita;

      Sitarudi mpaka watakapoangamizwa kabisa.

  • Zaburi 18:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Wanalilia msaada, lakini hakuna mtu wa kuwaokoa;

      Hata wanamlilia Yehova, lakini yeye hawajibu.

  • Methali 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Anayekataa kusikiliza sheria

      —Hata sala yake inachukiza.+

  • Yeremia 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Ninawaletea msiba+ ambao hawataweza kuuepuka. Watakaponiomba msaada, sitawasikiliza.+

  • Yakobo 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mnapoomba, hampokei kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya, ili mvitumie kwa ajili ya tamaa zenu za mwili.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki