-
Zaburi 18:37Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 Nitawafuatia maadui wangu na kuwapita;
Sitarudi mpaka watakapoangamizwa kabisa.
-
-
Zaburi 18:41Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
41 Wanalilia msaada, lakini hakuna mtu wa kuwaokoa;
Hata wanamlilia Yehova, lakini yeye hawajibu.
-
-
Yakobo 4:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Mnapoomba, hampokei kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya, ili mvitumie kwa ajili ya tamaa zenu za mwili.
-