Zaburi 34:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawatazama waadilifu,+Na masikio yake yanasikiliza kilio chao cha kuomba msaada.+ פ [Pe] 16 Lakini uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda maovu,Ili afutilie mbali kumbukumbu lao lote kutoka duniani.+ Zaburi 138:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa Yehova yuko juu, yeye huwaona wanyenyekevu,+Lakini anajitenga mbali na wenye kiburi.+ Zaburi 145:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hutosheleza tamaa ya wale wanaomwogopa;+Husikia kilio chao cha kuomba msaada, naye huwaokoa.+ Yohana 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda dhambi,+ lakini humsikiliza mtu yeyote anayemwogopa na kufanya mapenzi yake.+
15 Macho ya Yehova yanawatazama waadilifu,+Na masikio yake yanasikiliza kilio chao cha kuomba msaada.+ פ [Pe] 16 Lakini uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda maovu,Ili afutilie mbali kumbukumbu lao lote kutoka duniani.+
31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda dhambi,+ lakini humsikiliza mtu yeyote anayemwogopa na kufanya mapenzi yake.+