Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho ya Yehova yanawatazama waadilifu,+

      Na masikio yake yanasikiliza kilio chao cha kuomba msaada.+

      פ [Pe]

      16 Lakini uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda maovu,

      Ili afutilie mbali kumbukumbu lao lote kutoka duniani.+

  • Zaburi 138:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ingawa Yehova yuko juu, yeye huwaona wanyenyekevu,+

      Lakini anajitenga mbali na wenye kiburi.+

  • Zaburi 145:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hutosheleza tamaa ya wale wanaomwogopa;+

      Husikia kilio chao cha kuomba msaada, naye huwaokoa.+

  • Yohana 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda dhambi,+ lakini humsikiliza mtu yeyote anayemwogopa na kufanya mapenzi yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki