Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Humwinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini;

      Humwinua maskini kutoka katika rundo la majivu,*+

      Ili awafanye wakae pamoja na wakuu,

      Na kuwapa kiti cha heshima.

      Nguzo za dunia ni za Yehova,+

      Naye huweka nchi inayozaa juu yake.

  • Zaburi 113:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Huinama chini ili atazame mbingu na dunia,+

       7 Akimwinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini.

      Humwinua juu maskini kutoka kwenye rundo la majivu*+

       8 Ili amketishe pamoja na viongozi,

      Pamoja na viongozi wa watu wake.

  • Isaya 57:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Yule Aliye Juu na Aliyetukuka Sana,

      Anayeishi* milele+ na ambaye jina lake ni takatifu+ anasema hivi:

      “Ninaishi mahali palipo juu na patakatifu,+

      Lakini ninaishi pia na wale waliopondwa na wenye roho ya unyenyekevu,

      Ili kuihuisha roho ya watu wa hali ya chini

      Na kuuhuisha moyo wa wale wanaopondwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki