Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wewe hunipa ngao yako ya wokovu,+

      Mkono wako wa kuume hunitegemeza,*

      Na unyenyekevu wako hunifanya niwe mkuu.+

  • Zaburi 138:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ingawa Yehova yuko juu, yeye huwaona wanyenyekevu,+

      Lakini anajitenga mbali na wenye kiburi.+

  • Isaya 57:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Yule Aliye Juu na Aliyetukuka Sana,

      Anayeishi* milele+ na ambaye jina lake ni takatifu+ anasema hivi:

      “Ninaishi mahali palipo juu na patakatifu,+

      Lakini ninaishi pia na wale waliopondwa na wenye roho ya unyenyekevu,

      Ili kuihuisha roho ya watu wa hali ya chini

      Na kuuhuisha moyo wa wale wanaopondwa.+

  • Isaya 66:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,

      Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+

      “Basi, nitamtazama huyu,

      Yule aliye mnyenyekevu na aliyevunjika rohoni na anayelitetemekea* neno langu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki