Zaburi 113:5-7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni nani aliye kama Yehova Mungu wetu,+Anayekaa juu?* 6 Huinama chini ili atazame mbingu na dunia,+ 7 Akimwinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini. Humwinua juu maskini kutoka kwenye rundo la majivu*+
5 Ni nani aliye kama Yehova Mungu wetu,+Anayekaa juu?* 6 Huinama chini ili atazame mbingu na dunia,+ 7 Akimwinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini. Humwinua juu maskini kutoka kwenye rundo la majivu*+