Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ ambaye kamwe hana ukosefu wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Zaburi 36:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ee Yehova, upendo wako mshikamanifu unafika mpaka mbinguni,+Uaminifu wako mpaka mawinguni.
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ ambaye kamwe hana ukosefu wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+