Kumbukumbu la Torati 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Baadaye mtakapokuwa mkiteseka sana na mambo hayo yote yatakapokuwa yamewapata, ndipo mtakapomrudia Yehova Mungu wenu na kuisikiliza sauti yake.+ Isaya 55:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mtu mwovu na aiache njia yake+Na mtu mbaya mawazo yake;Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+ Yoeli 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu,+Nanyi mrudi kwa Yehova Mungu wenu,Kwa maana ni mwenye huruma* na rehema, si mwepesi wa hasira,+ naye ana upendo mwingi mshikamanifu,+Naye atafikiria upya* msiba aliokusudia kuleta.
30 Baadaye mtakapokuwa mkiteseka sana na mambo hayo yote yatakapokuwa yamewapata, ndipo mtakapomrudia Yehova Mungu wenu na kuisikiliza sauti yake.+
7 Mtu mwovu na aiache njia yake+Na mtu mbaya mawazo yake;Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+
13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu,+Nanyi mrudi kwa Yehova Mungu wenu,Kwa maana ni mwenye huruma* na rehema, si mwepesi wa hasira,+ naye ana upendo mwingi mshikamanifu,+Naye atafikiria upya* msiba aliokusudia kuleta.