Zaburi 79:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha. Maombolezo 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wote wanaopita barabarani wanakupigia makofi kwa dharau.+ Wanapiga mluzi kwa mshangao+ na kumtikisia vichwa vyao binti ya Yerusalemu, wakisema: “Je, hili ndilo jiji walilosema hivi kulihusu: ‘Lina urembo mkamilifu, ni shangwe ya dunia yote’?”+
4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha.
15 Wote wanaopita barabarani wanakupigia makofi kwa dharau.+ Wanapiga mluzi kwa mshangao+ na kumtikisia vichwa vyao binti ya Yerusalemu, wakisema: “Je, hili ndilo jiji walilosema hivi kulihusu: ‘Lina urembo mkamilifu, ni shangwe ya dunia yote’?”+