Zaburi 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,Jiji la Mfalme Mkuu.+ Ezekieli 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Sifa zako zikaanza* kuenea kati ya mataifa+ kwa sababu ya urembo wako, kwa maana urembo wako ulikuwa kamili kwa sababu niliweka fahari yangu mwenyewe juu yako,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,Jiji la Mfalme Mkuu.+
14 “‘Sifa zako zikaanza* kuenea kati ya mataifa+ kwa sababu ya urembo wako, kwa maana urembo wako ulikuwa kamili kwa sababu niliweka fahari yangu mwenyewe juu yako,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”