Zaburi 102:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini wewe unadumu milele, Ee Yehova,+Na umaarufu wako utadumu* katika vizazi vyote.+ Zaburi 145:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,Na mamlaka yako hudumu katika vizazi vyote.+ Zaburi 146:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova atakuwa Mfalme milele,+Mungu wako, Ee Sayuni, kizazi baada ya kizazi. Msifuni Yah!*