Yeremia 38:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ee bwana wangu mfalme, watu hawa wamemtendea Yeremia uovu! Wamemtupa ndani ya tangi, naye atafia humo kwa sababu ya njaa kali, kwa maana hakuna mkate uliobaki jijini.”+ Yeremia 52:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwezi wa nne, siku ya tisa ya mwezi huo,+ njaa ilikuwa kali sana jijini, na watu waliokuwemo hawakuwa na chakula.+ Maombolezo 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wanaendelea kuwauliza mama zao, “Iko wapi nafaka na divai?”+ Wanapozimia kama mtu aliyejeruhiwa katika viwanja vya mji,Huku uhai wao ukitoka polepole wakiwa mikononi mwa mama zao. Maombolezo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ulimi wa mtoto anayenyonya hushikamana na kaakaa lake kwa sababu ya kiu. Watoto wadogo wanaombaomba mikate,+ lakini hakuna anayewapa.+
9 “Ee bwana wangu mfalme, watu hawa wamemtendea Yeremia uovu! Wamemtupa ndani ya tangi, naye atafia humo kwa sababu ya njaa kali, kwa maana hakuna mkate uliobaki jijini.”+
6 Katika mwezi wa nne, siku ya tisa ya mwezi huo,+ njaa ilikuwa kali sana jijini, na watu waliokuwemo hawakuwa na chakula.+
12 Wanaendelea kuwauliza mama zao, “Iko wapi nafaka na divai?”+ Wanapozimia kama mtu aliyejeruhiwa katika viwanja vya mji,Huku uhai wao ukitoka polepole wakiwa mikononi mwa mama zao.
4 Ulimi wa mtoto anayenyonya hushikamana na kaakaa lake kwa sababu ya kiu. Watoto wadogo wanaombaomba mikate,+ lakini hakuna anayewapa.+