Maombolezo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninalia kwa sababu ya mambo haya;+ macho yangu yanatiririka machozi. Kwa maana yeyote ambaye angenifariji au kuniburudisha yuko mbali sana nami. Wanangu wamebaki ukiwa, kwa maana adui ameshinda.
16 Ninalia kwa sababu ya mambo haya;+ macho yangu yanatiririka machozi. Kwa maana yeyote ambaye angenifariji au kuniburudisha yuko mbali sana nami. Wanangu wamebaki ukiwa, kwa maana adui ameshinda.