8 Yerusalemu ametenda dhambi nzito sana.+
Ndiyo sababu amekuwa kitu kinachochukiza sana.
Wote waliokuwa wakimheshimu sasa wanamtendea kama kitu kinachodharauliwa, kwa maana wameuona uchi wake.+
Yeye mwenyewe analia kwa maumivu+ na kujificha kwa aibu.