Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 25:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ulipiga makofi+ na kupiga miguu yako chini nawe ukashangilia kwa dharau kubwa dhidi ya nchi ya Israeli,+ 7 kwa hiyo nitaunyoosha mkono wangu dhidi yako ili nikutie mikononi mwa mataifa uwe kitu cha kuporwa. Nitakukatilia mbali kutoka kati ya mataifa na kukuharibu kutoka katika nchi hizi.+ Nitakuangamiza, nawe utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’

  • Obadia 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hupaswi kucheka siku ambayo ndugu yako anapatwa na maafa,+

      Hupaswi kushangilia siku ambayo watu wa Yuda wanaangamia,+

      Nawe hupaswi kujigamba sana siku wanayotaabika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki