-
Ezekieli 25:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ulipiga makofi+ na kupiga miguu yako chini nawe ukashangilia kwa dharau kubwa dhidi ya nchi ya Israeli,+ 7 kwa hiyo nitaunyoosha mkono wangu dhidi yako ili nikutie mikononi mwa mataifa uwe kitu cha kuporwa. Nitakukatilia mbali kutoka kati ya mataifa na kukuharibu kutoka katika nchi hizi.+ Nitakuangamiza, nawe utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’
-