Sefania 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na matusi ya Waamoni,+ Ambao wamewadhihaki watu wangu na kujigamba kwa vitisho dhidi ya eneo lao.+
8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na matusi ya Waamoni,+ Ambao wamewadhihaki watu wangu na kujigamba kwa vitisho dhidi ya eneo lao.+