1 Mambo ya Nyakati 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Halafu Mfalme Daudi akasimama na kusema: “Nisikilizeni, ndugu zangu na watu wangu. Moyo wangu ulitamani kujenga nyumba ambamo sanduku la agano la Yehova lingekaa* na ambayo ingekuwa kiti cha miguu cha Mungu wetu,+ nami nilifanya matayarisho ya kuijenga.+ Zaburi 132:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na tuingie katika makao yake;*+Na tuiname chini kwenye kiti cha miguu yake.+ Isaya 60:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako,+Mberoshi, mtidhari, na mvinje pamoja,+Ili kuparembesha mahali pangu patakatifu;Nitapatukuza mahali pa miguu yangu.+
2 Halafu Mfalme Daudi akasimama na kusema: “Nisikilizeni, ndugu zangu na watu wangu. Moyo wangu ulitamani kujenga nyumba ambamo sanduku la agano la Yehova lingekaa* na ambayo ingekuwa kiti cha miguu cha Mungu wetu,+ nami nilifanya matayarisho ya kuijenga.+
13 Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako,+Mberoshi, mtidhari, na mvinje pamoja,+Ili kuparembesha mahali pangu patakatifu;Nitapatukuza mahali pa miguu yangu.+