Isaya 41:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nitapanda mwerezi jangwani,Mshita na mhadasi na msonobari,+Nitapanda mberoshi katika jangwa tambarare,Pamoja na mtidhari na mvinje,+ Isaya 55:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Badala ya vichaka vya miiba, mberoshi utakua,+Na badala ya upupu unaowasha, mhadasi utakua. Na jambo hilo litamletea Yehova sifa,*+Ishara ya milele ambayo haitatoweka kamwe.”
19 Nitapanda mwerezi jangwani,Mshita na mhadasi na msonobari,+Nitapanda mberoshi katika jangwa tambarare,Pamoja na mtidhari na mvinje,+ Isaya 55:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Badala ya vichaka vya miiba, mberoshi utakua,+Na badala ya upupu unaowasha, mhadasi utakua. Na jambo hilo litamletea Yehova sifa,*+Ishara ya milele ambayo haitatoweka kamwe.”
13 Badala ya vichaka vya miiba, mberoshi utakua,+Na badala ya upupu unaowasha, mhadasi utakua. Na jambo hilo litamletea Yehova sifa,*+Ishara ya milele ambayo haitatoweka kamwe.”