Isaya 51:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+ Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+ Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+ Isaya 55:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Badala ya vichaka vya miiba, mberoshi utakua,+Na badala ya upupu unaowasha, mhadasi utakua. Na jambo hilo litamletea Yehova sifa,*+Ishara ya milele ambayo haitatoweka kamwe.”
3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+ Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+ Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+
13 Badala ya vichaka vya miiba, mberoshi utakua,+Na badala ya upupu unaowasha, mhadasi utakua. Na jambo hilo litamletea Yehova sifa,*+Ishara ya milele ambayo haitatoweka kamwe.”