Isaya 41:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nitapanda mwerezi jangwani,Mshita na mhadasi na msonobari,+Nitapanda mberoshi katika jangwa tambarare,Pamoja na mtidhari na mvinje,+ Isaya 60:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako,+Mberoshi, mtidhari, na mvinje pamoja,+Ili kuparembesha mahali pangu patakatifu;Nitapatukuza mahali pa miguu yangu.+
19 Nitapanda mwerezi jangwani,Mshita na mhadasi na msonobari,+Nitapanda mberoshi katika jangwa tambarare,Pamoja na mtidhari na mvinje,+ Isaya 60:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako,+Mberoshi, mtidhari, na mvinje pamoja,+Ili kuparembesha mahali pangu patakatifu;Nitapatukuza mahali pa miguu yangu.+
13 Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako,+Mberoshi, mtidhari, na mvinje pamoja,+Ili kuparembesha mahali pangu patakatifu;Nitapatukuza mahali pa miguu yangu.+