Isaya 39:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ‘Na baadhi ya wana wako mwenyewe utakaowazaa watachukuliwa na kuwa maofisa wa makao ya mfalme katika jumba la mfalme wa Babiloni.’”+ Isaya 43:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo nitawatia unajisi wakuu wa mahali patakatifu,Nami nitamtoa Yakobo aangamizweNa kumfanya Israeli atukanwe.+
7 ‘Na baadhi ya wana wako mwenyewe utakaowazaa watachukuliwa na kuwa maofisa wa makao ya mfalme katika jumba la mfalme wa Babiloni.’”+
28 Kwa hiyo nitawatia unajisi wakuu wa mahali patakatifu,Nami nitamtoa Yakobo aangamizweNa kumfanya Israeli atukanwe.+