Yeremia 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ee binti ya watu wangu,Vaa nguo za magunia+ na ugaegae katika majivu. Omboleza kana kwamba unamwombolezea mwana wa pekee, kwa kilio cha uchungu,+Kwa maana mwangamizaji atatushambulia kwa ghafla.+ Ezekieli 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wamevaa nguo za magunia,+ nao wanatetemeka.* Kila mtu ataaibishwa, na kila kichwa kitakuwa na upara.*+
26 Ee binti ya watu wangu,Vaa nguo za magunia+ na ugaegae katika majivu. Omboleza kana kwamba unamwombolezea mwana wa pekee, kwa kilio cha uchungu,+Kwa maana mwangamizaji atatushambulia kwa ghafla.+
18 Wamevaa nguo za magunia,+ nao wanatetemeka.* Kila mtu ataaibishwa, na kila kichwa kitakuwa na upara.*+