Maombolezo 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Binti huyo analia sana usiku,+ na machozi yake yamefunika mashavu yake. Miongoni mwa wapenzi wake wote hakuna yeyote wa kumfariji.+ Marafiki zake wote wamemsaliti;+ wamekuwa maadui wake. Maombolezo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninalia kwa sababu ya mambo haya;+ macho yangu yanatiririka machozi. Kwa maana yeyote ambaye angenifariji au kuniburudisha yuko mbali sana nami. Wanangu wamebaki ukiwa, kwa maana adui ameshinda.
2 Binti huyo analia sana usiku,+ na machozi yake yamefunika mashavu yake. Miongoni mwa wapenzi wake wote hakuna yeyote wa kumfariji.+ Marafiki zake wote wamemsaliti;+ wamekuwa maadui wake.
16 Ninalia kwa sababu ya mambo haya;+ macho yangu yanatiririka machozi. Kwa maana yeyote ambaye angenifariji au kuniburudisha yuko mbali sana nami. Wanangu wamebaki ukiwa, kwa maana adui ameshinda.