Zaburi 74:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+ Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ Zaburi 123:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tumedhihakiwa vya kutosha na* watu wanaojitumainiNa kudharauliwa na wenye kiburi.
10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+ Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+