Yohana 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Nami nina kondoo wengine, ambao si wa zizi hili;+ hao pia nitawaleta, nao wataisikiliza sauti yangu, nao watakuwa kundi moja, mchungaji mmoja.+ 1 Petro 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na mchungaji mkuu+ atakapofunuliwa, mtapokea taji la utukufu lisilofifia.+
16 “Nami nina kondoo wengine, ambao si wa zizi hili;+ hao pia nitawaleta, nao wataisikiliza sauti yangu, nao watakuwa kundi moja, mchungaji mmoja.+