Ezekieli 34:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nitamweka mchungaji mmoja juu yao,+ mtumishi wangu Daudi,+ naye atawalisha. Yeye mwenyewe atawalisha na kuwa mchungaji wao.+ Ezekieli 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “‘“Mtumishi wangu Daudi atakuwa mfalme wao,+ na wote watakuwa na mchungaji mmoja.+ Watatembea katika sheria zangu* na kuzishika amri zangu kwa uangalifu.+ 1 Petro 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na mchungaji mkuu+ atakapofunuliwa, mtapokea taji la utukufu lisilofifia.+
23 Nami nitamweka mchungaji mmoja juu yao,+ mtumishi wangu Daudi,+ naye atawalisha. Yeye mwenyewe atawalisha na kuwa mchungaji wao.+
24 “‘“Mtumishi wangu Daudi atakuwa mfalme wao,+ na wote watakuwa na mchungaji mmoja.+ Watatembea katika sheria zangu* na kuzishika amri zangu kwa uangalifu.+