Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:8-10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Kisha mtarudi na kuisikiliza sauti ya Yehova na kushika amri zake zote ninazowaamuru leo. 9 Yehova Mungu wenu atawaletea mafanikio mengi katika kazi yote ya mikono yenu,+ atawafanya muwe na watoto wengi na mifugo mingi na mazao mengi ya ardhi yenu, kwa maana Yehova atafurahia tena kuwafanikisha, kama alivyofurahia kuwafanikisha mababu zenu.+ 10 Kwa maana wakati huo mtaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu na kushika amri zake na sheria zilizoandikwa katika kitabu hiki cha Sheria, nanyi mtarudi kwa Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote.+

  • Yeremia 32:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, kwa faida yao wenyewe na kwa faida ya watoto wao baada yao.+

  • Ezekieli 36:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nitaitia roho yangu ndani yenu, nami nitawafanya mtembee katika masharti yangu,+ nanyi mtashika na kufuata sheria zangu.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki