Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+

  • Yeremia 30:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watamtumikia Yehova Mungu wao na Daudi mfalme wao, ambaye nitamweka juu yao.”+

  • Hosea 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Yehova Mungu wao+ na Daudi mfalme wao,+ nao watamjia Yehova wakitetemeka na kutafuta wema wake katika kipindi cha mwisho cha zile siku.+

  • Luka 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi,+ na Yehova* Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki