Zaburi 79:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha. Yeremia 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nitawafanya wawe kitu cha kutisha na msiba kwa falme zote za dunia,+ shutuma, methali, kitu cha kudhihakiwa, na laana+ kila mahali nitakapowatawanya.+ Maombolezo 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wote wanaopita barabarani wanakupigia makofi kwa dharau.+ Wanapiga mluzi kwa mshangao+ na kumtikisia vichwa vyao binti ya Yerusalemu, wakisema: “Je, hili ndilo jiji walilosema hivi kulihusu: ‘Lina urembo mkamilifu, ni shangwe ya dunia yote’?”+ Maombolezo 3:61, 62 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Umesikia dhihaka zao, Ee Yehova, njama zao zote walizopanga dhidi yangu,+62 Midomo ya wapinzani wangu na mambo wanayonong’ona dhidi yangu mchana kutwa.
4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha.
9 Nitawafanya wawe kitu cha kutisha na msiba kwa falme zote za dunia,+ shutuma, methali, kitu cha kudhihakiwa, na laana+ kila mahali nitakapowatawanya.+
15 Wote wanaopita barabarani wanakupigia makofi kwa dharau.+ Wanapiga mluzi kwa mshangao+ na kumtikisia vichwa vyao binti ya Yerusalemu, wakisema: “Je, hili ndilo jiji walilosema hivi kulihusu: ‘Lina urembo mkamilifu, ni shangwe ya dunia yote’?”+
61 Umesikia dhihaka zao, Ee Yehova, njama zao zote walizopanga dhidi yangu,+62 Midomo ya wapinzani wangu na mambo wanayonong’ona dhidi yangu mchana kutwa.