Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 79:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+

      Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha.

  • Yeremia 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nitawafanya wawe kitu cha kutisha na msiba kwa falme zote za dunia,+ shutuma, methali, kitu cha kudhihakiwa, na laana+ kila mahali nitakapowatawanya.+

  • Maombolezo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wote wanaopita barabarani wanakupigia makofi kwa dharau.+

      Wanapiga mluzi kwa mshangao+ na kumtikisia vichwa vyao binti ya Yerusalemu, wakisema:

      “Je, hili ndilo jiji walilosema hivi kulihusu: ‘Lina urembo mkamilifu, ni shangwe ya dunia yote’?”+

  • Maombolezo 3:61, 62
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Umesikia dhihaka zao, Ee Yehova, njama zao zote walizopanga dhidi yangu,+

      62 Midomo ya wapinzani wangu na mambo wanayonong’ona dhidi yangu mchana kutwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki