Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nitawafanya wawe kitu cha kutisha kwa falme zote za dunia+ kwa sababu ya Manase mwana wa Hezekia, mfalme wa Yuda, kwa sababu ya mambo aliyofanya Yerusalemu.+

  • Yeremia 34:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Hamjanitii kwa sababu kila mtu hajamtangazia uhuru ndugu yake na mwenzake.+ Basi sasa ninawatangazia uhuru,’ asema Yehova, ‘kwa upanga, ugonjwa hatari, na njaa kali,+ nami nitawafanya muwe kitu cha kutisha kwa falme zote za dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki