Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yehova ana upanga; utafunikwa kwa damu.

      Utafunikwa kwa mafuta,+

      Kwa damu ya wanakondoo dume na mbuzi,

      Kwa mafuta ya figo za kondoo dume.

      Kwa maana Yehova ana dhabihu kule Bosra,

      Machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+

       7 Fahali mwitu watashuka pamoja nao,

      Ng’ombe dume wachanga watashuka pamoja na wenye nguvu.

      Nchi yao itajaa damu,

      Na mavumbi yao yatalowa mafuta.”

       8 Kwa maana Yehova ana siku ya kisasi,+

      Mwaka wa malipo ya kesi dhidi ya Sayuni.+

  • Yeremia 46:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Siku hiyo ni ya Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, siku ya kisasi ya kulipiza kisasi dhidi ya maadui wake. Na upanga utanyafua na kujishibisha na kunywa damu yao mpaka ushibe, kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, ana dhabihu* katika nchi ya kaskazini kando ya Mto Efrati.+

  • Sefania 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nyamazeni mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa maana siku ya Yehova iko karibu.+

      Yehova ametayarisha dhabihu; amewatakasa wale aliowaalika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki