Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 63:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu,+

      Kutoka Bosra+ akiwa na mavazi yenye rangi zinazong’aa,*

      Huyu aliye na mavazi ya kifahari,

      Anayetembea kwa nguvu zake nyingi?

      “Ni mimi, Yule anayesema kwa uadilifu,

      Yule aliye na nguvu nyingi za kuokoa.”

       2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu,

      Na kwa nini mavazi yako ni kama ya mtu anayekanyaga shinikizo la divai?+

       3 “Nimelikanyaga pipa la divai nikiwa peke yangu.

      Hakuna mtu yeyote kutoka katika mataifa aliyekuwa pamoja nami.

      Niliendelea kuwakanyaga kwa hasira yangu,

      Nami niliendelea kuwakanyaga kwa ghadhabu yangu.+

      Mavazi yangu yalijaa madoa ya damu yao,

      Nami nimezichafua nguo zangu zote.

  • Obadia 8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Katika siku hiyo,” asema Yehova,

      “Je, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu+

      Na wenye utambuzi walio katika eneo lenye milima la Esau?

       9 Na mashujaa wako wataogopa,+ Ee Temani,+

      Kwa kuwa kila mtu aliye katika eneo lenye milima la Esau atauawa kwa upanga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki