5 “Kwa maana upanga wangu utaloweshwa mbinguni.+
Utashuka juu ya Edomu katika hukumu,+
Juu ya watu ambao niliamua kuwaangamiza.
6 Yehova ana upanga; utafunikwa kwa damu.
Utafunikwa kwa mafuta,+
Kwa damu ya wanakondoo dume na mbuzi,
Kwa mafuta ya figo za kondoo dume.
Kwa maana Yehova ana dhabihu kule Bosra,
Machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+