Yoeli 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Pigeni pembe Sayuni!+ Pigeni kelele za vita katika mlima wangu mtakatifu. Wakaaji wote wa nchi* na watetemeke,Kwa maana siku ya Yehova inakuja!+ Iko karibu! 2 Petro 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku ambayo mbingu zitapitilia mbali+ kwa mngurumo,* lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+
2 “Pigeni pembe Sayuni!+ Pigeni kelele za vita katika mlima wangu mtakatifu. Wakaaji wote wa nchi* na watetemeke,Kwa maana siku ya Yehova inakuja!+ Iko karibu!
10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku ambayo mbingu zitapitilia mbali+ kwa mngurumo,* lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+