Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 38:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako+ na kukutoa pamoja na jeshi lako lote,+ farasi na wapanda farasi, wote wakiwa wamevaa mavazi ya kifahari, kusanyiko kubwa sana lenye ngao kubwa na ngao ndogo,* wote wakiwa na mapanga; 5 Uajemi, Ethiopia, na Putu+ wako pamoja nao, wote wakiwa na ngao ndogo na kofia; 6 Gomeri na wanajeshi wake wote, watu wa nyumba ya Togarma+ kutoka sehemu za mbali zaidi za kaskazini, pamoja na wanajeshi wake wote—mataifa mengi yako pamoja nawe.+

  • Hagai 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitapindua kiti cha ufalme cha falme na kuharibu kabisa nguvu za falme za mataifa;+ nami nitayapindua magari ya vita na wale wanaoyaendesha,+ na farasi na wapanda farasi watauawa, kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.’”

  • Ufunuo 19:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nikaona pia malaika amesimama katika jua, naye akaita kwa sauti kubwa na kuwaambia ndege wote wanaoruka katikati ya mbingu:* “Njooni hapa, mkusanyike pamoja kwenye mlo mkubwa wa jioni wa Mungu,+ 18 ili mle nyama za wafalme na nyama za viongozi wa kijeshi na nyama za watu wenye nguvu+ na nyama za farasi na za wale wanaoketi juu yao,+ na nyama za wote, za watu huru na vilevile za watumwa na za wadogo kwa wakubwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki