Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kisha Isaya mwana wa Amozi akatuma ujumbe huu kwa Hezekia: “Yehova Mungu wa Israeli anasema, ‘Nimesikia sala yako+ ambayo umenitolea kumhusu Mfalme Senakeribu wa Ashuru.+

  • 2 Wafalme 19:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa sababu ghadhabu yako dhidi yangu+ na mngurumo wako umefika masikioni mwangu.+

      Basi nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu+ katikati ya midomo yako,

      Nami nitakurudisha kupitia njia uliyoitumia kuja.”+

  • Ezekieli 29:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sema maneno haya: ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

      “Niko dhidi yako, Farao mfalme wa Misri,+

      Mnyama mkubwa sana wa baharini anayelala kati ya vijito vya mto wake Nile,*+

      Ambaye amesema, ‘Mto wangu Nile ni wangu.

      Niliutengeneza kwa ajili yangu.’+

       4 Lakini nitatia kulabu katika mataya yako na kufanya samaki wa mto wako Nile washikamane na magamba yako.

      Nitakutoa katika mto wako Nile pamoja na samaki wa mto wako Nile wanaoshikamana na magamba yako.

  • Ezekieli 39:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nitakugeuza na kukuongoza na kukufanya uje kutoka sehemu za mbali zaidi za kaskazini+ na kukuleta kwenye milima ya Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki