Isaya 32:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mnara wenye ngome umeachwa;Jiji lenye kelele limeachwa.+ Ofeli+ na mnara wa mlinzi vimebaki ukiwa daima,Mahali panapopendwa na punda wa mwituni,Malisho ya mifugo,+15 Mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+Na nyika iwe shamba la matunda,Na shamba la matunda lionwe kuwa msitu.+ Yoeli 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha nitaimimina roho yangu+ juu ya kila aina ya mwili,Na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii,Na wanaume wenu wazee wataota ndoto,Na wanaume wenu vijana wataona maono.+
14 Kwa maana mnara wenye ngome umeachwa;Jiji lenye kelele limeachwa.+ Ofeli+ na mnara wa mlinzi vimebaki ukiwa daima,Mahali panapopendwa na punda wa mwituni,Malisho ya mifugo,+15 Mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+Na nyika iwe shamba la matunda,Na shamba la matunda lionwe kuwa msitu.+
28 Kisha nitaimimina roho yangu+ juu ya kila aina ya mwili,Na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii,Na wanaume wenu wazee wataota ndoto,Na wanaume wenu vijana wataona maono.+