Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 40:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Aliponileta kwenye ua wa ndani kutoka mashariki, alilipima lango, nalo lilikuwa na ukubwa sawa na malango mengine.

  • Ezekieli 40:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ukumbi wake ulitazama ua wa nje, na kulikuwa na michongo ya mitende kwenye nguzo zake mbili za pembeni, na ngazi nane zilielekea kwenye lango hilo.

  • Ezekieli 40:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisha akanileta kwenye lango la kaskazini+ naye akalipima; ukubwa wake ulikuwa sawa na malango mengine.

  • Ezekieli 40:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Nguzo zake za pembeni zilitazama ua wa nje na kulikuwa na michongo ya mitende kwenye nguzo zake mbili za pembeni, na ngazi nane zilielekea kwenye lango hilo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki