Ezekieli 40:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na kuelekea ua wake wa nje palikuwa na nguzo zake za kando, na maumbo ya mitende yalikuwa juu ya nguzo zake za kando upande huu na upande ule.+ Na mpando wake ulikuwa vipandio vinane.
37 Na kuelekea ua wake wa nje palikuwa na nguzo zake za kando, na maumbo ya mitende yalikuwa juu ya nguzo zake za kando upande huu na upande ule.+ Na mpando wake ulikuwa vipandio vinane.