1 Wafalme 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Alijenga kuta za ndani za nyumba hiyo kwa mbao za mierezi. Alifunika kuta za ndani kwa mbao, kuanzia sakafu ya nyumba mpaka kwenye maboriti ya dari, akaifunika sakafu yake kwa mbao za miberoshi.+ 2 Mambo ya Nyakati 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Alifunika nyumba kuu kwa mbao za miberoshi, kisha akaifunika kwa dhahabu bora,+ halafu akaipamba kwa michongo ya mitende+ na minyororo.+
15 Alijenga kuta za ndani za nyumba hiyo kwa mbao za mierezi. Alifunika kuta za ndani kwa mbao, kuanzia sakafu ya nyumba mpaka kwenye maboriti ya dari, akaifunika sakafu yake kwa mbao za miberoshi.+
5 Alifunika nyumba kuu kwa mbao za miberoshi, kisha akaifunika kwa dhahabu bora,+ halafu akaipamba kwa michongo ya mitende+ na minyororo.+