Ezekieli 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha akaja kwenye lango lililotazama mashariki+ na kupanda ngazi zake. Alipopima kizingiti cha lango hilo, upana wake ulikuwa utete mmoja, na upana wa kile kizingiti kingine ulikuwa utete mmoja pia. Ezekieli 42:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Alipomaliza kupima sehemu ya ndani ya hekalu,* akanipeleka nje kupitia lango linalotazama mashariki,+ naye akapima eneo hilo lote. Ezekieli 44:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Akanirudisha kupitia lango la nje la patakatifu lililotazama mashariki,+ nalo lilikuwa limefungwa.+
6 Kisha akaja kwenye lango lililotazama mashariki+ na kupanda ngazi zake. Alipopima kizingiti cha lango hilo, upana wake ulikuwa utete mmoja, na upana wa kile kizingiti kingine ulikuwa utete mmoja pia.
15 Alipomaliza kupima sehemu ya ndani ya hekalu,* akanipeleka nje kupitia lango linalotazama mashariki,+ naye akapima eneo hilo lote.
44 Akanirudisha kupitia lango la nje la patakatifu lililotazama mashariki,+ nalo lilikuwa limefungwa.+