Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 40:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kulikuwa na vyumba vitatu vya walinzi katika kila upande wa lango la mashariki. Vyumba hivyo vitatu vilikuwa na ukubwa uleule, nazo nguzo za pembeni zilizokuwa pande zote mbili zilikuwa na ukubwa uleule.

  • Ezekieli 43:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kisha akanipeleka kwenye lango linalotazama mashariki.+

  • Ezekieli 43:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha utukufu wa Yehova ukaingia hekaluni* kupitia lango lililotazama mashariki.+

  • Ezekieli 46:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Lango la ua wa ndani linalotazama mashariki+ linapaswa kubaki likiwa limefungwa+ kwa siku sita za kazi,+ lakini siku ya Sabato na siku ya mwezi mpya linapaswa kufunguliwa. 2 Kiongozi ataingia ndani kupitia njia ya ukumbi wa lango,+ naye atasimama kando ya mwimo wa lango. Makuhani watatoa dhabihu yake nzima ya kuteketezwa na dhabihu zake za ushirika, naye atainama chini kwenye kizingiti cha lango na kutoka nje. Lakini lango linapaswa kubaki wazi mpaka jioni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki