1 Mambo ya Nyakati 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Daudi alipomaliza kutoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika,+ akawabariki watu katika jina la Yehova. 2 Mambo ya Nyakati 30:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na Mfalme Hezekia wa Yuda alitoa mchango wa ng’ombe dume 1,000 na kondoo 7,000 kwa ajili ya kutaniko, na wakuu walitoa mchango wa ng’ombe dume 1,000 na kondoo 10,000 kwa ajili ya kutaniko;+ na makuhani wengi walikuwa wakijitakasa.+
2 Daudi alipomaliza kutoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika,+ akawabariki watu katika jina la Yehova.
24 Na Mfalme Hezekia wa Yuda alitoa mchango wa ng’ombe dume 1,000 na kondoo 7,000 kwa ajili ya kutaniko, na wakuu walitoa mchango wa ng’ombe dume 1,000 na kondoo 10,000 kwa ajili ya kutaniko;+ na makuhani wengi walikuwa wakijitakasa.+