13 “Mnapaswa kufanya Sherehe ya Vibanda*+ kwa siku saba mnapokusanya nafaka kutoka katika uwanja wenu wa kupuria na kutoka katika shinikizo lenu la mafuta na divai.
8 Wakati huo Sulemani alifanya sherehe hiyo kwa siku saba+ pamoja na Waisraeli wote, kutaniko kubwa sana kuanzia Lebo-hamathi* kushuka mpaka kwenye Korongo* la Misri.+
16 “Kila mtu atakayebaki kutoka katika mataifa yote yatakayoshambulia Yerusalemu atapanda mwaka baada ya mwaka+ kwenda Yerusalemu kumwinamia* Mfalme, Yehova wa majeshi,+ na kusherehekea Sherehe ya Vibanda.*+