-
Mambo ya Walawi 2:4, 5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 “‘Mkitoa nafaka ambayo imeokwa kwenye jiko, inapaswa kuwa ya unga laini, mikate ya mviringo isiyo na chachu na iliyokandwa kwa mafuta, au mikate myembamba isiyo na chachu ambayo imepakwa mafuta.+
5 “‘Mkitoa toleo la nafaka kutoka katika kiokeo,+ inapaswa kuwa ya unga laini usio na chachu, uliokandwa kwa mafuta.
-