Zekaria 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Siku hiyo kisima kitafunguliwa kwa ajili ya nyumba ya Daudi na wakaaji wa Yerusalemu ili kuwasafisha dhambi na uchafu.+ Zekaria 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Siku hiyo maji yaliyo hai+ yatatiririka kutoka Yerusalemu,+ nusu yataelekea kwenye bahari ya mashariki*+ na nusu yataelekea kwenye bahari ya magharibi.*+ Hilo litatukia wakati wa kiangazi na wa baridi kali. Ufunuo 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwanakondoo+
13 “Siku hiyo kisima kitafunguliwa kwa ajili ya nyumba ya Daudi na wakaaji wa Yerusalemu ili kuwasafisha dhambi na uchafu.+
8 Siku hiyo maji yaliyo hai+ yatatiririka kutoka Yerusalemu,+ nusu yataelekea kwenye bahari ya mashariki*+ na nusu yataelekea kwenye bahari ya magharibi.*+ Hilo litatukia wakati wa kiangazi na wa baridi kali.
22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwanakondoo+