Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 40:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha akaja kwenye lango lililotazama mashariki+ na kupanda ngazi zake. Alipopima kizingiti cha lango hilo, upana wake ulikuwa utete mmoja, na upana wa kile kizingiti kingine ulikuwa utete mmoja pia.

  • Ezekieli 44:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Akanirudisha kupitia lango la nje la patakatifu lililotazama mashariki,+ nalo lilikuwa limefungwa.+ 2 Ndipo Yehova akaniambia: “Lango hili litabaki likiwa limefungwa. Halipaswi kufunguliwa, na hakuna mwanadamu yeyote atakayelitumia kuingia; kwa maana mimi Yehova, Mungu wa Israeli, nimeingia kupitia lango hilo,+ basi linapaswa kubaki likiwa limefungwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki