Yeremia 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitawaponda kwa kuwagonganisha mtu na mwenzake, baba na wana pia,” asema Yehova.+ “Sitawahurumia wala kuwasikitikia kamwe wala kuwaonyesha rehema yoyote; hakuna kitakachonizuia nisiwaangamize.”’+
14 Nami nitawaponda kwa kuwagonganisha mtu na mwenzake, baba na wana pia,” asema Yehova.+ “Sitawahurumia wala kuwasikitikia kamwe wala kuwaonyesha rehema yoyote; hakuna kitakachonizuia nisiwaangamize.”’+