-
Kutoka 32:26, 27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Kisha Musa akasimama kwenye lango la kambi na kusema: “Ni nani aliye upande wa Yehova? Njooni kwangu!”+ Ndipo Walawi wote wakakusanyika kumzunguka. 27 Basi Musa akawaambia: “Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Kila mmoja wenu na ajifunge upanga wake na kupita kotekote kambini, kutoka lango mpaka lango, amuue ndugu yake, jirani yake, na rafiki yake wa karibu.’”+
-